<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709</id><updated>2011-12-24T05:40:24.066-08:00</updated><category term='Njia za kuzuia mimba'/><category term='mapezi'/><category term='Usafi na Ngono'/><category term='Ngono baada ya kujifungua'/><category term='ndoa'/><category term='Ngono ni sanaa'/><category term='Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake'/><category term='Siku ya kwanza'/><category term='shahawa'/><category term='Tigo'/><title type='text'>Shule ya  Ngono</title><subtitle type='html'>Yote Kuhusu Ngono</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><author><name>Alt Celebrity</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04018377746587799939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>14</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-713212367952698741</id><published>2011-12-24T05:25:00.000-08:00</published><updated>2011-12-24T05:40:24.080-08:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='mapezi'/><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='ndoa'/><title type='text'>Jinsi ya Kupata Mapenzi Uyatakayo Katika Ndoa Yako</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-8RuijQQclv0/TvXV4Fu9nRI/AAAAAAAAAQY/JNiwWd0cqxQ/s1600/love-couple.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 266px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-8RuijQQclv0/TvXV4Fu9nRI/AAAAAAAAAQY/JNiwWd0cqxQ/s400/love-couple.jpg" alt="Jinsi ya Kupata Mapenzi Uyatakayo Katika Ndoa Yako" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5689688863841033490" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kila ndoa ina matatizo, na yanaweza kufumuka wakati wowote. La muhimu ni kwamba unapokuwa umeamua kujiingiza katika maisha ya ndoa unapaswa kujifunza jinsi ya kukabiliana na matatizo hayo ili yaweze kuisha salama na ndoa kuendelea kuwa salama.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bila kujali umeenda umbali gani katika barabara hii ya ndoa, zipo kanuni rahisi lakini za muhimu za usalama katika barabara hii. Si rahisi sana kuzitekeleza kanuni hizi, kwa wanandoa walio wengi, lakini ni lazima kuzitekeleza iwapo wahusika wanapenda ndoa yao iwe salama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Iwapo utazingatia kanuni hizi, utaifanya ndoa yako kuwa imara zaidi. Katika usalama huu utapata pia marupurupu – furaha, ngono, kuaminiana (kuaminiwa), mapenzi moto moto na kadhalika. Hebu sasa na tuziangalie kanuni zenyewe: -&lt;a style="font-weight: bold; color: rgb(255, 0, 0);" href="http://shuleyangono.blogspot.com/2011/12/kupata-mapenzi-uyatakayo-katika-ndoa.html"&gt;Endelea Kusoma&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-713212367952698741?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/713212367952698741/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2011/12/jinsi-ya-kupata-mapenzi-uyatakayo.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/713212367952698741'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/713212367952698741'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2011/12/jinsi-ya-kupata-mapenzi-uyatakayo.html' title='Jinsi ya Kupata Mapenzi Uyatakayo Katika Ndoa Yako'/><author><name>Alt Celebrity</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04018377746587799939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-8RuijQQclv0/TvXV4Fu9nRI/AAAAAAAAAQY/JNiwWd0cqxQ/s72-c/love-couple.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-1929996559122397079</id><published>2011-12-24T05:18:00.000-08:00</published><updated>2011-12-24T05:26:49.754-08:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='mapezi'/><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='ndoa'/><title type='text'>KUPATA MAPENZI UYATAKAYO KATIKA NDOA</title><content type='html'>KILA ndoa ina matatizo, na yanaweza kufumuka wakati wowote. La muhimu ni kwamba unapokuwa umeamua kujiingiza katika maisha ya ndoa unapaswa kujifunza jinsi ya kukabiliana na matatizo hayo ili yaweze kuisha salama na ndoa kuendelea kuwa salama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bila kujali umeenda umbali gani katika barabara hii ya ndoa, zipo kanuni rahisi lakini za muhimu za usalama katika barabara hii. Si rahisi sana kuzitekeleza kanuni hizi, kwa wanandoa walio wengi, lakini ni lazima kuzitekeleza iwapo wahusika wanapenda ndoa yao iwe salama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Iwapo utazingatia kanuni hizi, utaifanya ndoa yako kuwa imara zaidi. Katika usalama huu utapata pia marupurupu – furaha, ngono, kuaminiana (kuaminiwa), mapenzi moto moto na kadhalika. Hebu sasa na tuziangalie kanuni zenyewe: -&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. ONESHA MATENDO YA KIMAHABA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Usipojishughulisha kwa lolote lile kwa ajili ya kumfurahisha mpenzi wako utasababisha mwenzako achoke na hata kufikia mahala akakasirika. Ili kuepuka haya, hakikisha kuwa unayapa kipaumbele mambo ambayo yanamfanya mpenzi wako kujihisi maalumu kwako. Na njia rahisi zaidi ni kuwekeza katika matendo madogo madogo ya kimahaba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumbuka, kauli moja hasi au ya kuvunja moyo inaweza kuhitaji kauli kama ishirini chanya ili iweze kufifia (si kufutika) akilini mwa mpenzi wako. Hii ina maana kwamba, badala ya kumlaumu mpenzi wako, wekeza zaidi katika kumsifia katika mambo yake, au mambo anayoyafanya utakavyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msifie mpenzi wako kwa nguo yake mpya, msifie kwa kukujali, mpigie simu ofisini kwake na kumwambia kuwa ulikuwa unamuwaza na kadhalika. Isipokuwa, hakikisha kuwa sifa hizi na kauli hizi za mahaba zinadhihirika kutoka moyoni, zisije kuwa kama mazoea tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Iwapo utafanya hivi, ni rahisi sana kumfurahisha mpenzi au mwenzi mwenye nia njema na wewe. Kumbuka mambo yenu yalianza hivi hivi, pale mlipokuwa bado mnafukuziana. Matendo madogo ya kimahaba hayapaswi kuwa na mwisho, maana ndiyo hudumisha msisimko wa wenza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. TUMIA HISIA ZA MGUSO&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hisia za mguso ni muhimu sana kwa wapenzi. Na njia mojawapo ya kumweka mpenzi wako katika utayari wa kukupa kila kitu ni kumshika mkono unapotembea naye kwenda dukani. Naam, Afrika hii unaweza kusemwa na hata kuchekwa, lakini la muhimu kwako ni kwamba unamfanyia mwenzi wako wa maisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unapomsalimia mwenzi wako, gusa mashavu yake kwa ncha za vidole vyako. Jikumbushe jinsi ulivyokuwa unamgusa katika siku za kwanza, kabla hujamzoea. Ulikuwa ukimgusa kwa huba na tamaa kubwa. Mbusu kila panapoweza kubusika, pitisha mkono wako kwenye nywele zake, na kadhalika. Kugusa ni lugha muhimu ya mapenzi. Itaongeza msamiati wako wa mapenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sanjari na kumgusa, onesha pia kuwa unamuunga mkono mwenzako. Unapotokea ugomvi, wewe nenda upande wa mwenzi wako. Pia mtunzie siri zake maana wewe ndiwe mwandani wake. Hata kama huko kazini au kokote watu watazungumza siri za wenzi wao, wewe siri za mwenzako ziache kuwa baina yake na wewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. KUMBUKA HAKUNA MKAMILIFU&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unapokasirika, au kukatishwa tamaa, au kuvunjwa moyo au kufadhaishwa, unaweza kushindwa kujizuia kumlaumu aliyekusababishia hali hiyo, hata kama mtu mwenyewe ni mwenzi wako wa maisha. Pia,  ni kawaida kwa mtu kujaribu kumbadilisha mpenzi wake anapodhani ana udhaifu fulani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, unapojaribu kumkosoa na kumrekebisha mpenzi au mwenzi wako unamweka katika hali ya kujitetea. Matokeo yake ni kwamba hatabadilika na pengine ataacha kuwajibika. Matokeo mengine ni kwamba furaha yake itaondoka. Kumbuka, unapomkosa mwenzako ni kama vile unapuuza asilimia 90 ya hulka yake njema ambayo ilikufanya uvutiwe kuwa naye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama kweli unataka kumpa kipaumbele mwenzako na kisha kutarajia mazuri kutoka kwake, basi badala ya kutaka kumbadilisha yeye, badilika wewe mwenyewe kwa kuondoa mapungufu yako mwenyewe. Iwapo utajirekebisha, mpenzi wako hatasubiri umlaumu au umgombeze, bali yeye pia atabadilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika suala hili, ni vema kutambua kuwa hakuna mtu mkamilifu – si wewe, wala yeye, wala mwingine. Mungu tu ndiye mkamilifu. Siku nyingine mpenzi wako akifanya jambo ambalo unahisi linakukera, acha kuhemka. Badala yake, jifariji kwamba alikuwa na lengo zuri japo matokeo hayakuwa mazuri. Na kila siku, wiki au mwezi, chagua jambo moja ambalo unaliona kuwa zuri kwake, kisha litaje. Linaweza kuwa ucheshi, utani na kadhalika. Yaangalie hayo yaliyo chanya tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4. FAHAMU KUGOMBANA VIZURI&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Migogoro katika ndoa ni kitu cha kawaida. Naam, wengine husema ndoa isiyo na migogoro ni sawa na kusema imekufa. La muhimu ni vile unavyokabiliana na migogoro hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hakika, kushirikiana katika kutatua migogoro ni vema zaidi kuliko kuhangaika mwenyewe. Naam, kama kila mmoja atakuwa na nia njema, migogoro inaweza kuwa njia mojawapo ya kuzidi kushikamana na mwenzako. Ni kwa kufahamu namna njema ya kukabiliana na migogoro ndipo mtu huweza kumpenda mwenzake kama alivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumlaumu mwenzako ni kitu cha kuepuka kwa gharama yoyote. Pia, acha kukabiliana naye kwa maneno, kwani utakuwa unawasha moto ambao haitakuwa rahisi sana kuuzima. Wanandoa wenye furaha ni wale ambao huepuka sana kutumia vinywa vyao dhidi ya wenzao. Hawa hufahamu jinsi ya kuzuia mazungumzo kulipuka na kuwa ugomvi. Watu hawa hujitahidi kuepuka maneno ya kujiapiza kama “kamwe” na kadhalika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Iwapo ugomvi utatokea (naam, hakika utatokea), jaribu kubadilisha mada, ingiza ucheshi, mwoneshe mwenzako mapenzi ya ziada. Kama utabaini kuwa tayari umechelewa, tafuta suluhu kwa kuondoka kwanza na kurudi baadaye kuendelea kuzungumza kila mmoja anapokuwa katika nafasi nzuri ya kutumia vema akili yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. ZUNGUMZA NAYE KWA MUDA MUAFAKA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Usianzishe mazungumzo magumu au makali na mwenzi wako kama hauko mahala muafaka na wakati pia si muafaka. Njaa na uchovu vinaweza kusababisha mtu kujibu hovyo au kutojali. Pia si vema kumuuliza jambo mwenzako iwapo mmoja au nyote mmepata kileo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile, epuka kuzungumzia masuala magumu ya kimahusiano iwapo jicho la pili litakuwa limeelekezwa kwenye kitu kingine. Zima TV, pia zima simu na laptop. Kama ulikuwa unasoma gazeti, lifunike ndipo uanze kuzungumza na mwenzako masuala nyeti ya kimaisha. Kama ukiona mazingira hayaruhusu, chagua wakati mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini pia, kabla hujaanza mazungumzo na mwenzako, jiulize iwapo hutasababisha rabsha. Jiulize, je, mazungumzo yetu yataisha kwa furaha? Kama utabaini kuwa yanaweza yasiishe kwa furaha basi acha na kupanga siku nyingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6. TUMIA VEMA MASIKIO YAKO&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo hili la mwisho ni muhimu sana katika kuimarisha uhusiano wa kindoa. Ukitaka kupunguza migogoro baina yako na mwenzako, jifunze kuzungumza kidogo na badala yake kuwa msikivu zaidi. Kauli za lawama, matusi, kukosoa na nyingine za aina hiyo hubashiri mwisho wa uhusiano. Na hata kama uhusiano hautaisha lakini ni rahisi ndoa kuwa ndoana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mazungumzo yako na mwenzako yanapoanza kuchemka na kuonekana kama vile yanaelekea kubaya, epuka kumkata kauli mwenzako – iwe ni kwa kutoa suluhisho au kujitetea. Mwenzako anapokuwa na kitu kifuani, anataka kusikilizwa. Kwa hiyo msikilize na uoneshe kuwa unamsikiliza kwa kutikisa kichwa (juu-chini), au kumwitikia kwa mguno wa kumwonesha kuwa unamsikiliza na kuheshimu maneno yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TIMIZA WAJIBU WAKO&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Iwapo utayazingatia mambo haya sita utakuwa umejenga msingi imara kwa mpenzi wako kuwa wazi kwako na kukupa mapenzi yote. Namna hii, japo ndoa yenu inaweza kupita kwenye misukosuko mara kwa mara, lakini itaibuka kidedea.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-1929996559122397079?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/1929996559122397079/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2011/12/kupata-mapenzi-uyatakayo-katika-ndoa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/1929996559122397079'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/1929996559122397079'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2011/12/kupata-mapenzi-uyatakayo-katika-ndoa.html' title='KUPATA MAPENZI UYATAKAYO KATIKA NDOA'/><author><name>Alt Celebrity</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04018377746587799939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-4134980039458357934</id><published>2011-01-26T02:08:00.000-08:00</published><updated>2011-01-26T02:09:35.746-08:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Ngono ni sanaa'/><title type='text'>Ngono ni sanaa</title><content type='html'>&lt;ul class="posts"&gt;&lt;li&gt;&lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/blogu-ya-kufika-kilele.html"&gt;Blogu ya Kufika Kilele&lt;/a&gt;&lt;/li&gt;&lt;li&gt;&lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/maana-ya-mwanamke.html"&gt;Maana ya Mwanamke&lt;/a&gt;&lt;/li&gt;&lt;li&gt;&lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/vyote-kuhusu-shahawa.html"&gt;Vyote Kuhusu Shahawa&lt;/a&gt;&lt;/li&gt;&lt;li&gt;&lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/usafi-na-ngono.html"&gt;Usafi na Ngono&lt;/a&gt;&lt;/li&gt;&lt;li&gt;&lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/tigo-ngono-kinyume-na-maumbile-ukweli.html"&gt;Tigo-Ngono kinyume na maumbile-Ukweli&lt;/a&gt;&lt;/li&gt;&lt;li&gt;&lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/siku-ya-kwanza.html"&gt;Siku ya kwanza&lt;/a&gt;&lt;/li&gt;&lt;li&gt;&lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/sehemu-tofauti-za-utamu-wa-ngono-kwa.html"&gt;Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake&lt;/a&gt;&lt;/li&gt;&lt;li&gt;&lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/njia-za-kuzuia-mimba.html"&gt;Njia za kuzuia mimba&lt;/a&gt;&lt;/li&gt;&lt;li&gt;&lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/ngono-ni-sanaa.html"&gt;Ngono ni sanaa&lt;/a&gt;&lt;/li&gt;&lt;li&gt;&lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/ngono-baada-ya-kujifungua.html"&gt;Ngono baada ya kujifungua&lt;/a&gt;&lt;/li&gt;&lt;/ul&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-4134980039458357934?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/4134980039458357934/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2011/01/ngono-ni-sanaa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/4134980039458357934'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/4134980039458357934'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2011/01/ngono-ni-sanaa.html' title='Ngono ni sanaa'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-6868196160398400249</id><published>2010-05-18T11:20:00.000-07:00</published><updated>2011-06-18T11:21:52.249-07:00</updated><title type='text'>Privacy Policy</title><content type='html'>&lt;div&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;We at &lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com"&gt;shuleyangono.blogspot.com&lt;/a&gt; take your privacy seriously. This privacy policy describes what personal information we collect and how we use it.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Routine Information Collection&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;All web servers track basic information about their visitors. This  information includes, but is not limited to, IP addresses, browser  details, timestamps and referring pages. None of this information can  personally identify specific visitors to this site. The information is  tracked for routine administration and maintenance purposes, and lets me  know what pages and information are useful and helpful to visitors.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Cookies and Web Beacons&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Where necessary, this site uses cookies to store information about a  visitor's preferences and history in order to better serve the visitor  and/or present the visitor with customized content.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Advertising partners and other third parties may also use cookies,  scripts and/or web beacons to track visitors to our site in order to  display advertisements and other useful information. Such tracking is  done directly by the third parties through their own servers and is  subject to their own privacy policies.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Controlling Your Privacy&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Note that you can change your browser settings to disable cookies if you  have privacy concerns. Disabling cookies for all sites is not  recommended as it may interfere with your use of some sites. The best  option is to disable or enable cookies on a per-site basis. Consult your  browser documentation for instructions on how to block cookies and  other tracking mechanisms.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Special Note About Google Advertising&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Any advertisements served by Google, Inc., and affiliated companies may  be controlled using cookies. These cookies allow Google to display ads  based on your visits to this site and other sites that use Google  advertising services. Learn how to opt out of Google's cookie usage. As  mentioned above, any tracking done by Google through cookies and other  mechanisms is subject to Google's own privacy policies.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;About Google advertising: What is the DoubleClick DART cookie? The  DoubleClick DART cookie is used by Google in the ads served on publisher  websites displaying AdSense for content ads. When users visit an  AdSense publisher’s website and either view or click on an ad, a cookie  may be dropped on that end user’s browser. The data gathered from these  cookies will be used to help AdSense publishers better serve and manage  the ads on their site(s) and across the web. &lt;a href="http://www.google.com/privacy_ads.html"&gt;Users may opt out of the use of the DART cookie by visiting the Google ad and content network privacy policy.&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Some third-party advertisers used by Google may use a different cookie.  You may opt out of most third-party advertising cookies by &lt;a href="http://www.networkadvertising.org/managing/opt_out.asp"&gt;following this link  and visiting the Network Advertising Initiative opt-out page&lt;/a&gt;, or &lt;a href="http://www.evidon.com/consumers/profile_manager#tab3"&gt;by visiting this Consumers page to opt out of all advertising cookies&lt;/a&gt;.&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;Contact Information&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div&gt;Concerns or questions about this privacy policy can be directed to us  via our comment form on any post for further clarification.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-6868196160398400249?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/6868196160398400249/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2010/05/privacy-policy.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/6868196160398400249'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/6868196160398400249'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2010/05/privacy-policy.html' title='Privacy Policy'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-2784064846989021596</id><published>2009-10-19T13:19:00.000-07:00</published><updated>2009-10-19T13:19:11.637-07:00</updated><title type='text'>Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake</title><content type='html'>&lt;h3 class="post-title entry-title"&gt; &lt;a href="http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/sehemu-tofauti-za-utamu-wa-ngono-kwa.html"&gt;Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake&lt;/a&gt; &lt;/h3&gt;&lt;br /&gt;Kwa bahati nzuri wanawake wana maeneo 5 ambayo huwawezesha kusikia utamu wa kufanya mapenzi/ngono tofauti na wanaume&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sehemu maarufu ni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-kisimi na&lt;br /&gt;-G spot (kipele G) lakini kuna eneo lingine linaitwa&lt;br /&gt;-AFE ambalo liko mwishoni kabisa mwa uke na vile vile&lt;br /&gt;-kuta za uke bila kusahau&lt;br /&gt;-mwanzo wa uke.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanamke anaweza kufurahi/kupata utamu wa tendo hili takatifu kwenye maeneo yote hayo ikiwa mpenzi wako anajua kuwajibika (sio kufanya kwa muda mrefu tu bali kujua kucheza na kiungo chake a.k.a uume) pamoja na utundu wake pia wewe mwanamke unatakiwa kuwa wazi na huru kumuelekeza ikiwa kagusa kusiko au kapatia kunako utamu.&lt;br /&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Utamu wa maeneo yote hayo ni tofauti na unazidiana ikiwa umejaaliwa kuupata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.Kisimi-unapopata utamu wa kisimini kwa njia ya kusuguliwa/shikwa/chezewa kwa ulimi, kidole au kichwa cha uume. Utamu wa mahali hapa hupatikana haraka na hufanya usitamani tena tendo hilo kwa muda fulani (3-dk15) na kikiguswa tena hukupa maumivu fulani hivi (inakuwa sensitive) kwa baadhi ya wanawake ndio mpaka kesho tena.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.Kipele G-Utamu wa mahali hapa ni wa nguvu sana mwanamke mara zote huzirai kwa muda (kuishiwa nguvu) huchukua muda wa dk20-45 kupatikana, na ukipatikana hamu haikuishii hivyo wakati wewe umezimia mpenzi anaweza kuendelea na mchezo na nguvu zikirudi basi na wewe unaendelea kutafuta goli lingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikiwa mpenzi ana uwezo wa kumaliza lakini anabaki kasimama (dinda) au anajua kujizuia basi unaweza kutandika goli tatu ktk mzunguuko mmoja (hii ni kutokana na uzoefu).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3.Mwanzo wa uke:utamu wa mahali hapa haukupotezei hamu kwani haufiki kileleni bali unasikia utamu fulani hivi....sasa ukitaka kufika kunako mwisho basi sisukumize ili uume uingie ndani zaidi ili aweze kugonga G au nguzo/kuta za uke...(kwa uzoefu)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4.Kuta za uke (kona zote kwa ndani), utamu wa eneo hili unapatikana toka mwanzo uume umeingizwa, na kadri mnavyoendelea kufanyana umoto unazidi na hatimae unamaliza (fika kileleni) ila sina uhakika kilele cha kuta za uke kina uhusiano gani na kufika kileleni.....utamu wa hapa haukumalizii hamu kwani unaweza kuendelea mara baada ya kufika kileleni as long as mpenzi bado mgumu (kadinda)....(kwa uzoefu)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5.Mwisho wa uke (ni karibu na njia ya uzazi.....umewahi kufanya mapenzi/ngono na mpenzi wako akagonga mwisho wa uke na ukasikia maumivu fulani lakini bado unapenda aendelee na wakati mwingine unaomba afanye kwa nguvu (ili usikilizie maumivu hayo)? Je umewahi kubahatika kufika kileleni (sikia utamu) ikiwa anakufanya kwa nguvu huku ukisikia maumivu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama jibu ni ndio basi huko ndio eneo la "mwisho wa uke", utamu wa huko hazimii mtu bali unaweza kutokwa na machozi kama sio kulia kilio cha furaha na maumivu, vilevile lazima utatoa ukelele wa maana sio ule wa kujifanya kumridhisha mwanaume....ukelele wa huko ni "INAUMA lakini TAMU" if u know what I mean.....pia unaweza kutokwa na damu( ni kwa uzoefu).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utamu wa mahali hapa utakufanya utake zaidi LAKINI hakikisha unamruhusu mpenzi wako kufika huko ikiwa mnaaminiana (mko kwenye uhusiano wa kudumu na msafi kiafya) na uko tayari kuwa mama ikiwa jamaa atatereza na kuachia kidogo kwani ni mlangoni kabisa mwa njia ya uzazi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-2784064846989021596?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/2784064846989021596/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/10/sehemu-tofauti-za-utamu-wa-ngono-kwa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/2784064846989021596'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/2784064846989021596'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/10/sehemu-tofauti-za-utamu-wa-ngono-kwa.html' title='Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-4449036004192296293</id><published>2009-04-17T03:21:00.000-07:00</published><updated>2011-04-16T08:52:53.118-07:00</updated><title type='text'>Maana ya Mwanamke</title><content type='html'>Two guys and a girl were sitting at a bar talking about their lives.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The first guy said, "I'm a YUPPIE. You know, Young Urban Professional."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The second guy responded, "I'm a DINK. You know, Double Income No Kids."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;They then asked the woman, "What are you?"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;She replied: "I'm a WIFE. You know, Wash, Iron, F--u*ck, Etc."&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-4449036004192296293?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/4449036004192296293/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/maana-ya-mwanamke.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/4449036004192296293'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/4449036004192296293'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/maana-ya-mwanamke.html' title='Maana ya Mwanamke'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-1209661874479283025</id><published>2009-04-10T03:03:00.001-07:00</published><updated>2009-04-10T03:03:25.225-07:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='shahawa'/><title type='text'>Vyote Kuhusu Shahawa</title><content type='html'>Vyote Kuhusu Shahawa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shahawa sio uchafu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ktk swala zima la kufanya mapenzi/ngono na mpenzi huwa tunajikuta tunafanya vijimambo vya ajabu sana ambayo ukimuelezea mtu anaweza akakuona "wewe namna gani?" lakini ktk hali halisi tunayafanya hayo mambo kwa mapenzi yetu yote na pengine tunapata raha fulani ktk kufanya hivyo vijimambo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa kwenye hivyo vijimambo vingi tuvifanyavyo kuna hiki kimoja nimekichagua ambacho ni kitamu sana (sio kama pipi au asali bali utamu ule wa kimapenzi) na kitakachokusogeza karibu zaidi na mpenzi wako nacho ni kuthamini Shahawa za mpenzi a.k.a cum a.k.a manii a.k.a maziwa a.k.a krimu (as cream) kwa kuzichezea, kuziramba, kuzipaka mwilini n.k.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Natambua kuwa wengi hushindwa kuwa huru kucheza na "kimiminika" hicho kutokana na harufu yake kali au kwa vile wanaume wenyewe wanaziona/chukulia Shahawa zao kama uchafu. Sikia, chochote kinachotoka mwilini mwa mpenzi wako unaempenda kwa dhati kama matokeo ya kufanya mapenzi (jasho, "cum", mate n.k.) sio uchafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nitakupa maelezo mafupi ya nini chakufanya ili Shahawa zako zisiwe na shombo kali wewe mwanaume na kwa mwanamke nitakuambia namna ya kujifunza kucheza, kulamba na hatimae kujaribu kumeza shahawa bila kusahau faida ya Shahawa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanaume-Unapaswa kuangalia lishe yako na nini unakunywa(kama utaweza achana na bia na badala yake kunywa maji mengi zaidi) ili kuondoa shombo ya Shahawa na hivyo iwe rahisi kwa mpenzi wako kucheza nazo, onyesha unazijali nakuzipenda ili mpenzi wako azipende pia (ukidhani ni uchafu na zinatoka kwako...mtu mwingine atafanya nini?).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Acha kabisa tabia ya kukimbilia bafuni kuoga au kusafisha "kiungo" au kukimbilia kitambaa/tissue kila baada ya mzunguuko na badala yake baki hapo na onyesha unazithamini kwa kuzishika na kuzipaka juu ya ngozi yake (pale ulipomalizia).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtakapo maliza mizunguuko yenu na mmetosheka ndio mnakwenda kuoga/safisha wote......mpango wa kuoga kila baada ya kumwaga sio tu unamkosha mwanamke haki yake kitandani bali pia kunamjengea dhana potofu kuwa Shahawa ni uchafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanamke-Unatakiwa kujifunza taratibu na jinsi siku zinavyoenda ndivyo ambavyo utakuwa ukizoea, kitu cha kwanza  unacho paswa kufanya ni kuziona zinavyotoka hivyo hakikisha unaangalia uume pale ambapo mwanaume anamwaga mahali popote kitandani au hewani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.Mruhusu au ruhusu amwage mwilini mwako, iwe ni kwenye matiti, kwenye makalio, tumboni, kifuani, usoni au juu ya uke wako (akikisha haziteremki ukeni ikiwa huna mpango wa “kumimbwa”) na zikiwa mahali hapo jaribu kuzishika/chezea kwa mikono yako kwa kuzipaka-paka au kuzisambaza sehemu nyingine ya mwili wako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.Utakuwa umeshazizoea kuziona, kuzishika na kuzinusa na hivyo itakuwa rahisi kwako wewe kujua una “deal” na “kimiminika” kizuri kitokako kwa mpenzi wako mara baada yakufanya tendo “takatifu”.&lt;br /&gt;Tumia kidole/vidole vyako kuchovya Shahawa na kisha zilambe (hakikisha una kinywaji chenye uchachu au tunda lenye uchachu kama vile embe, chungwa, nanasi n.k.) na mara baada ya kulamba kula tunda lako (najua bado ile kasumba kuwa ni uchafu itakuwa inakumbua hivyo kula kipande cha tunda itakusaidia kuondoa utelezi mdomoni mwako).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3.Andaa vipande vya matunda matamu lakini yenye asili ya uchachu kama embe, nanasi au strawberries na kisha mpe mkono (mchue) au mdomo (BJ) mpenzi wako na muombe amwagie Shahawa juu ya vipande vya matunda yako na kisha kula matunda hayo yakiwa na “cream” na ninakuhakikishia utakuwa umemfurahisha mpenzi wako na atahisi kuthaminiwa sana na wewe bila kusahau hisia nyingine za kimapenzi juu yako zitaongezeka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4.weka uume mdomoni wakati mpenzi anamwaga Shahawa.&lt;br /&gt;Kama nilivyosema awali hakikisha kuwa pembeni mwa kitanda au mahali mnapofanyia mapenzi kuna matunda yenye asili ya uchachu au kinywaji chochote chenye asili hiyo na kula au kunywa mara tu baada ya kumeza shahawa kwani huwa zina ukakasi Fulani kooni na kwa kula tunda au kunywa kijwaji kitamu na chenye uchachu kitasaidia kuondoa ukakazi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Faida ya Shahawa-Hufanya ngozi yako kunawili na kuwa laini na mororo/nyororo ikiwa utakuwa na tabia ya kuzipaka juu ya ngozi yako kama “cream au Lotion”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hasara-Kuwa hatarini au kuambukizwa Magonjwa ya ngono ikiwa ni pamoja na UKIMWI.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utata-Shahawa haziondoi chunusi usono au mahali pengine popote kwa vile ni protini sio asidi lakini inaondoa vipele au ukavu wa ngozi nakuifanya iwe laini, hivyo kama unachunusi ni wazi kuwa ngozi yako mahali hapo ni ya mafuta kw  hivyo hutakiwiwi kuongeza kitu chenye mafuta au protini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shahawa zinaniwasha....&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jibu:Kwa kawaida Shahawa haziwashi au hata kusababisha muwasho unless hupatani nazo yaani uwe na aleji(Allergy to Semen/Sperm), kitu nitakachoweza kuhisi kuhusiana na tatizo lako ni maambukizo ya Fangazi/si au wengine huiita “Yeast” kitaalamu inajulikana kama “Candida Albicans” ambapo ule ukakasi/uchachu (unategemea na lishe ya mpenzi wako) unapoingia kwenye vijipasuka/vipele vilivyopasuka kwa ndani husababisha muwasho.&lt;br /&gt;Nakushauri unamuone Daktari ili akupime (atahitaji mkojo au swab ya majimaji huko ukeni) kisha atakushauri na kukupa matibabu kutegemeana na tatizo alilotambua kwenye vipimo vyake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Afya ya uke ni muhimu sana kuliko hata kinywa au uso wako na unatakiwa mwangalifu wakati unatumia sabuni, maji (chemsha ili kuwa na uhakika), vifaa unavyotumia kujisafishia ukiwa Gym au kama unaishai nyumba za kupanga zenye Kopo/bomba moja chooni, choo kwani kuna vyoo vimejaa kiasi kwamba ukichutama sehemu zako nyeti zinatishia kugusa vinyesi vya watu wengine, taulo la kujifutia na hata uchangiaji wa nguo za ndani (hata kama unafua kwa Jick) still unakuwa kwenye hatari ya kuambukizwa bila kujijua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninachojaribu kusema hapa ni kuwa usijisikie vibaya kwenda kumuona Daktari Bingwa wa Magonjwa ya kike kwa ushauri wa kitibabu hali kadhalika dawa, kwani dawa zinapatikana kwa wingi na nyingine zinaozea stoo kwa vile wanawake wanaona aibu kwenda kuomba ushauri ili kupata matibabu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Magonjwa ya ngono kwa wanawake ukiachilia yale makuu kama kisonono, kaswende, &lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/hiv-na-ukimwi-barani-afrika.html"&gt;HIV&lt;/a&gt; n.k. yapo mengine madogo madogo ambayo sio lazima uyapate kwa kufanya ngono bali kwa njia nyingine zitokananzo na mitindo ya maisha tunayoishi, kutokujua/kutokujali afya ya uke, mabadiliko ya homono hasa kama wewe ni mtumiaji wa madawa ya kuzuia mimba n.k.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shahawa na Mimba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya watu wanadhani au wanaamini kuwa Shahawa huishi ndani ya mwili wa mwanamke kwa masaa 72 ambayo ni sawa na siku tatu, lakini ukweli ni kuwa Shahawa huzunguuka nakushambulia "Womb" ili zikakutane na yai ili kuwa kiumbe kwa muda wa siku saba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndio maana wale wenzangu wanaotumia njia ya asilia ya &lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/njia-za-kuzuia-mimba.html"&gt; kuzuia mimba&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;huwa wanashangaa nakuchanganyikiwa pale wanapogundua wamenasa wakati siku zilikuwa "salama", unatakiwa kufanya mahesabu yako vema....vinginevyo &lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/tumia-condom.html"&gt;Tumia Condom&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile kuna wale wanaotumia Condom baada ya mwanaume kuonja bila chuku-chuku alafu wanakuja shangaa au kataa mimba na kudai kuwa walifanya kwa kutumia kinga (Condom).....tambua kuwa yale maji-maji yenye uterezi na radha ya chumvi-chumvi yanayojitokeza kutokana na nyege pale kwenye jicho la uume hubeba shahawa pia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tambua kuwa tone la shahawa lenye ukubwa wa nukta hubeba karibu mbegu elfu moja na mia tano(1,500)......sasa niambie maji-maji yale yanabeba "nukta" ngapi za Shahawa?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-1209661874479283025?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/1209661874479283025/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/vyote-kuhusu-shahawa.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/1209661874479283025'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/1209661874479283025'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/vyote-kuhusu-shahawa.html' title='Vyote Kuhusu Shahawa'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-8511594108186139869</id><published>2009-04-10T03:02:00.001-07:00</published><updated>2009-04-10T03:02:47.007-07:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Usafi na Ngono'/><title type='text'>Usafi na Ngono</title><content type='html'>Usafi na Ngono&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KILA mmoja wetu anafahamu nini maana ya usafi, lakini baadhi ya watu wamekuwa hawatilii maanani, hawana habari, hawajali pia wapo wengine hawajui kabisa waanzie wapi kuwa wasafi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mapenzi yanahusisha mambo na maungo mbalimbali kama vile miguu (legs), miguu ya kukanyagia (feet) na kucha zake, mikono, viganja ikiwa ni pamoja na kucha zake,macho, pua, midomo ya nje (lips), kinywa, nyayo, makalio, alafu ndio zinafuata sehemu nyeti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maungo hayo yote yana maana na umuhimu wake katika swala zima la mapenzi hasa yakitumiwa ipasavyo na yakiwekwa katika hali ya usafi, vinginevyo utampoteza mpenzi wako au kuharibu uhusiano wenu mzuri mlionao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Usafi ninaouzungumzia hapa sio ule wa kuoga na kupaka Manukato (perfum)/Lotion/mafuta, kufua/kunyoosha nguo pekee bali ni usafi ule wa ndani ambao baadhi ya wanawake hufundishwa tangu wakiwa na umri mdogo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali kadhalika wanaume pia hufundishwa jinsi ya kujisafi baadhi ya maeneo ya miili yao, lakini inasikitisha kuwa wanaume wengi hawajali kabisa usafi uwe ni ule wa kawaida au ule wa kunako nyeti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo baadhi ya wanume na wanawake ambao hupenda sana kulambwa lambwa katika maeneo Fulani ya miili yao wakidai kuwa ndio inayowaongezea nyege, lakini cha kusikitisha ni kuwa watu hawa hawajali/hawatunzi maeneo hayo na badala yake kutegemea mwanamke amshughulikie.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utunzaji wa kinywa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kunatofauti kati ya kusafishakinywa kama sehemu ya usafi wa mwili wako na ule usafi wa kinywa kwa ajili ya kuvutia au ku-share kinywa hicho na mtu mwingine a.k.a Mpenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Japokuwa wengi tunajitahidi kuisafisha midomo/vinywa vyetu bado tuna sahau maeneo muhimu kama vile sehemu ya juu ya kinywa ambako huko hujikusanya uterezi ambao hupelekea mtu kuwa na nyuzi nyuzi wakati anaongea, kucheka, kuimba n.k.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile ikumbukwe kuwa ukisafisha meno vizuri nakuacha ulimi utakuwa umeondoa harufu ya kinywa chako kwa kiasi kidogo sana, utakapo m-busu mtu kwa kutumia ulimi/mate bado utakuwa unatoa harufu, hutoisikia wakati unabusu kutokana na raha bali baada ya busu mwenzako atajua domo lako lanuka….aibu sio?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Midomo ya nje (lips) wanawake wengi huwa wanakimbilia kuipaka mafuta/lipbum/lipstick n.k. bila kujali usafi wa midomo hiyo ya nje. Midomo hii ya kubusia nayo husuguliwa na mswaki ili kuondoa uchafu unaosababishwa na mate ambayo husababisha ukavu ambao unaweza kupelekea midomo yako kupasuka au kutoa harufu mbaya midomo hunuka kutokana na mate.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa unachotakiwa kufanya ni kuisugua taratibu kwa kutumia mswaki wako ambao utakuwa hauna dawa na utakuwa msafi(mara baada ya kusafisha meno) kwa kufanya hivyo kutaifanya midomo yako ya nje iwe laini wakati wa kuifanyia kazi iwe ni kubusu au kunyonya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;*Sugua meno yako kila siku asubuhi na jioni, ikiwezekana kila baada ya kula chakula. Anza kwa kusugua meno pande zote juu, chini, katikati na pembeni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;*Safisha mswaki wako na usugue ulimi wako sehemu ya katikati na pembeni rudia mpaka ukitema mate yasiwe na mrendamrenda, kisha suuza na maji ya vuguvugu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;*Ikiwa “unaasili” ya kuwa na nyuzinyuzi katika kinywa yaani ukiongea/kucheka/ kupiga miayo n.k kunatokea mate yaliyoungana mithili ya uzi, hali hiyo hakika hutia kichefuchefu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unachotakiwa kufanya kila baada ya kula ni kutafuna kipande cha limau/ndimu/mbilimbi/mdalasini ambayo itasaidia kukata mate au tafuna bazoka zenye MINT  ambazo hazijaongezewa sukari ili kuepusha harufu mbaya ya kinywa na meno yako yasioze.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NYWELE-zinatambulisha utanashati/urembo wa mtu (personality), uhai/utu alionao (vitality), jinsia aliyonayo (sexuality) vilevile zina nguvu ya ajabu katika swala zima la mapenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nasikia kuna utamaduni wa watu Fulani ambao huunganisha nywele za Bibi harusi/ndoa na Bwana harusi/ndoa kwa kuzisuka siku hiyo ya harusi/ndoa kama ishara ya kuwa pamoja katika maisha yao yote ya ndoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NYWELE ZA MWANAMKE.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nywele za kichwani za mwanamke(haijalishi kama ni asilia au za bandia ilimradi ziko kichwani) ni sehemu ya kivutio/urembo wake ikiwa zitajaliwa na kupewa matuzo yanayotakiwa ikiwa ni pamoja na kuzisafisha. Nywele za mwanamke kwa baadhi ya wanaume zinaamsha nyege ikiwa zitalowa chapachapa wakati wa mvua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nywele hizo huwa kivutio zaidi ikiwa zitavurugika na kulowa jasho wakati mnaendelea kufanya mapenzi kuliko zikibaki katika style ileile uliyotengeneza asubuhi.Kwa  hivyo mwanamke  usihamishie akili kwenye mtindo wako wa nywele na badala yake hamishia akili kwenye tendo lenyewe ambalo ni ngono.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nywele za mwanamke ziotazo Kwapani, miguuni, kidevuni, kifuani ni lazima(well ni vema) ziondolewe kila baada ya wiki au wiki tatu inategemea umetumia njia gani kuziondoa bidhaa za kisasa, asali, sukari wembe n.k. unatakiwa kuwa laini sehemu hizo wakati wote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KUNAKO NYETI- unatakiwa kupunguza kidogo(usiondoe zote unless mpenzi wako anapenda kipara) sehemu ya juu hadi mwanzo wa kisimi kisha ondoa nywele zote za pembeni, kwenye mashavu mpaka kule karibu na sehemu ya nyuma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tafadhali unapoondoa nywele sehemu hizo usitumie aina yoyote ya madawa ya kisasa ili kuepuka matatizo ya kiafya na badala yake tumia wembe na chukua muda wa kutosha kuondoa nywele sehemu hizo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-8511594108186139869?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/8511594108186139869/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/usafi-na-ngono.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/8511594108186139869'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/8511594108186139869'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/usafi-na-ngono.html' title='Usafi na Ngono'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-2486864557463973463</id><published>2009-04-10T03:01:00.002-07:00</published><updated>2009-04-10T03:02:11.872-07:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Tigo'/><title type='text'>Tigo-Ngono kinyume na maumbile-Ukweli</title><content type='html'>Ngono kinyume na maumbile-Ukweli!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kufanya ngono kusiko a.k.a Tigo “MWIKO” ktk jamii nyingi Ulimwenguni sio kwa vile tu inamaanika kuwa ni uchafu na ina madhara makubwa ya kimwili, kiakili na kiafya bali ni kinyume na mafundisho ya imani zetu za Dini na mila na desturi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinachofanyika chumbani ni uamuzi wenu ninyi wawili mnaopendana ikiwa tu mtakubaliana na kufanya hivyo na pia ni &lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/"&gt;siri&lt;/a&gt; yako wewe na mpenzi wako, kuna wapenzi wengi tunafanya mambo ya ajabu sana na watu tunaowapenda na tunafurahia na tunazidi kupendana na kutakana zaidi na zaidi kila siku….lakini mambo hayo ni “taboo” ktk jamii kama ilivyo kwa Tigo au Ukware/uzinzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna baadhi ya watu (wake kwa waume) hujaribu na kisha wanajikuta wanafurahia na hivyo wanaendelea na kuna wengine hutaka kujua “unajisikiaje” lakini wanajikuta hawafurahii au mmoja wao hafurahii na hivyo wanaacha na kutorudia tena tendo hilo la mugongo-mugongo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inasemekana kuwa wanawake hawana hisia za utamu au raha ndani ya mkundu bali wanaume wanahisia Fulani na unono huko kunako “O” na baadhi husimamisha zaidi ikiwa watabonyezwa katikati ya mapumbu na sehemu ya kunyea au kuchuliwa/shikwa/kandwa/lambwa kwa vile kuna vijimishipa ambavyo ni “most sensitive”na hupelekea wapate utamu ule wanaoupata  wanawake wanapotandikwa kwenye “kipele G”. ……&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini kutokana na miiko wanaume wengi huwa hawaruhusu hii kwa vile wanahisi kuwa hakuna tofauti na kuwa shoga au wanadhani watazoea na kuwa “watoto wa watu” (Ushoga ni hali/hisia ya kuvutiwa/kutamani mtu wa jinsia yako sio kushikwa au kufurahia sehemu ya mwili wako).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kuwa watu kuheshimu miiko ya dini zao, kupinga na kulisema vibaya tendo hili wachunguzi wa mambo ya Tigo wanadai kuwa mwanamke mmoja kati ya wanne anashiriki ngono ya nyuma (sasa hii sijui ni kuridhisha wapenzi au ni wao wanafurahia)…….&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukweli kuhusu Tigo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Sio tendo asilia ktk swala zima la ngono na mapenzi hivyo kumbuka unapoamua kugawa tako kuwa na uhakika ndio kitu unataka kukifanya na sio kukifanya kwa vile “mchumba” kaomba/anataka…..wewe ndio mwenye maamuzi makuu ya nini unataka kifanyike mwilini mwako. Kama unahisi unachokwenda kukifanya sio “natural” na hujisikii vema kushiriki ngono Tigo basi acha/kataa kufanya hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Mkundu hauna ute asilia wa kuisaidia mboo kuingia bila “kwere” hivyo unahitaji vilainisho maalumu ili kurahisisha hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Hakikisha &lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/tumia-condom.html"&gt;mnatumia condom&lt;/a&gt; zenye “polyurethane” hizi inasemekana ni imara na zinahimili joto la huko kumavi kuliko zenye “spermicides” kwani husababisha muwasho utakaoweza kukusababishia maambukizo mengine yatokanayo na wadudu asilia walioko sehemu hiyo ya kunyea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Mara mishipa ya mkundu ikitanuka kutokana na kufanywa huko mara kwa mara huwa haijirudi kama ilivyo kwenye uke kwa vile haikuumbwa kwa ajili ya shughuli hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Hakikisha uume ukitoka Mkunduni haugusi au kuingizwa tena ukeni ili kuepuka maambukizo kwani sote tunatambua kuwa huko mahala kuna vijidudu asilia ambavyo ukivikanganya tu unaibuka na gonjwa la ajabu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Wengi tunaamini kuwa kufanywa nyuma ni kwa mashoga tu lakini kuna wanawake wanafurahia kama ilivyo ngono ya mdomo na baadhi hujigeuza kama njia mbadala ya kuzuia mimba au kulinda bikira (zaidi ni ktk jamii ya waarabu).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Kuingiziwa ndude huko ku mugongo kunauma (kunakupa maumivu)…..fikilia unapokunya kimba gumu tena baada ya kumeza mbegu za matunda Fulani yanaitwa “mabungo”…tunda lenyewe ni mbegu na mbegu hizo zinatabia ya kutereza bila taarifa…..sasa rafiki yangu sikilizia wakati wa kutoa kimba…utalia basi nasikia Tigo pia inauma sana lakini wasogo wake wanatumia mafuta au Jelly kutimiza haja zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Ukizoea sana kupigwa nyuma na mishipa ya huko kutanuka, basi inasemekana kuwa utatatizwa wakati wa kujifungua/kuzaa, si hivyo tu bali unaweza ukawa na tatizo la kuvuja mkojo kwani hutoweza kukaza tena misuli yako ukeni ambayo hulegea baada ya kuzaa.&lt;br /&gt;Swala muhimu sio kutisha watu bali kuwaelimisha na kuwaachia wao wachague mchele upi na pumba zipi. Ukiangalia yale yote yanayokatazwa au kuitwa miiko ndiyo yanayofanywa zaidi kuliko yale tunayoruhusiwa kuyazungumzia na kuyatenda.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-2486864557463973463?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/2486864557463973463/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/tigo-ngono-kinyume-na-maumbile-ukweli.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/2486864557463973463'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/2486864557463973463'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/tigo-ngono-kinyume-na-maumbile-ukweli.html' title='Tigo-Ngono kinyume na maumbile-Ukweli'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-1774212181713539152</id><published>2009-04-10T03:01:00.001-07:00</published><updated>2009-04-10T03:01:31.228-07:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Siku ya kwanza'/><title type='text'>Siku ya kwanza</title><content type='html'>Siku ya kwanza!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara ya kwanza ni kwa bikira na siku ya kwanza ni kwa wale waliokwisha anza kushiriki tendo la watu kabla ya ruhusa kwa mujibu wa imani zetu za kidini a.k.a ndoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unapoanzisha urafikia au unaporafikiana na mtu kimapenzi ni vema kama utasubiri na kumfahamu vema mtu huyo vizuri kabla hamjachojoana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini kama mnafahamiana vizuri na mkaamua kubadilishiana kibao na kuwa wapenzi mara nyingi hapa huwa hakuna subiri-subiri unasikilizia nature a.k.a Chemistry" inavyokusukuma dhidi na huyo rafiki ambaye ni mpenzi......&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swala muhimu kwa mwanamke ni kutulia (sio ubaki ka' gogo) bali jaribu kwenda au kufuata mtiririko. Siku ya kwanza ni siku ya kumjua mpenzi mpya......mkubwa/dogo kiasi gani, akiingiza je anaingia "deep" kiasi gani?,anafanya "kivita" "kimimi-mimi" au "kiromantiki" n.k&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Usikimbilie kubinuka-binuka hata akiomba "doggy" mwambie siku nyingine na mtindo unaopaswa kuufanya siku hiyo ni kifo cha mende.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kifo cha mende (mwanamke juu) ndio mkao asilia, rahisi, “comfortable” na utakao kuwezesha kumjua mwenzio kama unavyofahamu kuwa sote huwa tunakumbwa na hofu Fulani ambayo inaweza kuwa umsafi kiasi gani, uvutiaji wa mwili wako ukiwa mtupu, unavyobusu ndivyo au sivyo……siku ya kwanza na mpenzi mpya haina tofauti sana na siku ya kwanza shuleni au kazini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni mwiko siku ya kwanza kumshukia/nyonya/lamba chini (kama unapenda hivyo) na badala yake tumia vidole na mikono yako kuchezea “bidhaa zake”, tumia muda mwingi kwenye kubusu na kulamba kona za mwili wake (kama huzijui basi bahatisha kwa kulamba kuanzia chini ya kidevu-shingoni-kifuani-tumboni-mbavuni na uishie kiunoni).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna baadhi huofia kuwa wasipoolakini baadhi ya wanaume huwa wanahofia zaidi utendaji wao siku hiyo, wao hufanya kila wawezalo kuhakikisha wamekufurahisha na umeridhika hiyo ndio hofu yao kuu hivyo huitaji kujituma sana siku hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikiwa anakufanya vizuri usione soo kushukuru kwa kutaja jina lake, kuguna na kuhangaika kwa raha (utamu ukikolea unajikuta unazunguusha tu kiuno) au kumwambia kuwa ni tamu, raha, ongeza n.k.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanaume akijua amekufurahisha na umeridhika (sio kwa ku-fake lakini) huwa anafurahi (mambo ya Ego) na kama alikuwa na hisia za mapenzi dhidi yako ni wazi kuwa zitaongezeka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanaume ulieanza kurafikiana nae na kujenga hisia za mapenzi baina yenu kamwe hawezi kukukimbia kwa vile hukumonyesha ujuzi wako jana, kwamba anadhani ndivyo ulivyo kuwa hujui kitu……mwanaume huyo mwenye hekima ataelewa kuwa ni siku ya kwanza na pia kama kweli ana nia na wewe basi atakuwa tayari kujifunza na wewe……&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanaume wengi watulivu (sio Players) hupenda kuwa in-control, huumia kwa ndani (emotionally) ikiwa utamuonyesha utundu siku hiyo na yeye akaonekana hajui kitu mbele yako “mwanamke”……unatakiwa ku-“play cool”&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-1774212181713539152?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/1774212181713539152/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/siku-ya-kwanza.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/1774212181713539152'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/1774212181713539152'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/siku-ya-kwanza.html' title='Siku ya kwanza'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-7855697713170026132</id><published>2009-04-10T03:00:00.000-07:00</published><updated>2009-04-10T03:01:01.639-07:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake'/><title type='text'>Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake</title><content type='html'>Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa bahati nzuri wanawake wana maeneo 5 ambayo huwawezesha kusikia utamu wa kufanya mapenzi/ngono tofauti na wanaume&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sehemu maarufu ni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-kisimi na&lt;br /&gt;-G spot (kipele G) lakini kuna eneo lingine linaitwa&lt;br /&gt;-AFE ambalo liko mwishoni kabisa mwa uke na vile vile&lt;br /&gt;-kuta za uke bila kusahau&lt;br /&gt;-mwanzo wa uke.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanamke anaweza kufurahi/kupata utamu wa tendo hili takatifu kwenye maeneo yote hayo ikiwa mpenzi wako anajua kuwajibika (sio kufanya kwa muda mrefu tu bali kujua kucheza na kiungo chake a.k.a uume) pamoja na utundu wake pia wewe mwanamke unatakiwa kuwa wazi na huru kumuelekeza ikiwa kagusa kusiko au kapatia kunako utamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utamu wa maeneo yote hayo ni tofauti na unazidiana ikiwa umejaaliwa kuupata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1.Kisimi-unapopata utamu wa kisimini kwa njia ya kusuguliwa/shikwa/chezewa kwa ulimi, kidole au kichwa cha uume. Utamu wa mahali hapa hupatikana haraka na hufanya usitamani tena tendo hilo kwa muda fulani (3-dk15) na kikiguswa tena hukupa maumivu fulani hivi (inakuwa sensitive) kwa baadhi ya wanawake ndio mpaka kesho tena.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.Kipele G-Utamu wa mahali hapa ni wa nguvu sana mwanamke mara zote huzirai kwa muda (kuishiwa nguvu) huchukua muda wa dk20-45 kupatikana, na ukipatikana hamu haikuishii hivyo wakati wewe umezimia mpenzi anaweza kuendelea na mchezo na nguvu zikirudi basi na wewe unaendelea kutafuta goli lingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikiwa mpenzi ana uwezo wa kumaliza lakini anabaki kasimama (dinda) au anajua kujizuia basi unaweza kutandika goli tatu ktk mzunguuko mmoja (hii ni kutokana na uzoefu).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3.Mwanzo wa uke:utamu wa mahali hapa haukupotezei hamu kwani haufiki kileleni bali unasikia utamu fulani hivi....sasa ukitaka kufika kunako mwisho basi sisukumize ili uume uingie ndani zaidi ili aweze kugonga G au nguzo/kuta za uke...(kwa uzoefu)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;4.Kuta za uke (kona zote kwa ndani), utamu wa eneo hili unapatikana toka mwanzo uume umeingizwa, na kadri mnavyoendelea kufanyana umoto unazidi na hatimae unamaliza (fika kileleni) ila sina uhakika kilele cha kuta za uke kina uhusiano gani na kufika kileleni.....utamu wa hapa haukumalizii hamu kwani unaweza kuendelea mara baada ya kufika kileleni as long as mpenzi bado mgumu (kadinda)....(kwa uzoefu)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5.Mwisho wa uke (ni karibu na njia ya uzazi.....umewahi kufanya mapenzi/ngono na mpenzi wako akagonga mwisho wa uke na ukasikia maumivu fulani lakini bado unapenda aendelee na wakati mwingine unaomba afanye kwa nguvu (ili usikilizie maumivu hayo)? Je umewahi kubahatika kufika kileleni (sikia utamu) ikiwa anakufanya kwa nguvu huku ukisikia maumivu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama jibu ni ndio basi huko ndio eneo la "mwisho wa uke", utamu wa huko hazimii mtu bali unaweza kutokwa na machozi kama sio kulia kilio cha furaha na maumivu, vilevile lazima utatoa ukelele wa maana sio ule wa kujifanya kumridhisha mwanaume....ukelele wa huko ni "INAUMA lakini TAMU" if u know what I mean.....pia unaweza kutokwa na damu( ni kwa uzoefu).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utamu wa mahali hapa utakufanya utake zaidi LAKINI hakikisha unamruhusu mpenzi wako kufika huko ikiwa mnaaminiana (mko kwenye uhusiano wa kudumu na msafi kiafya) na uko tayari kuwa mama ikiwa jamaa atatereza na kuachia kidogo kwani ni mlangoni kabisa mwa njia ya uzazi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-7855697713170026132?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/7855697713170026132/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/sehemu-tofauti-za-utamu-wa-ngono-kwa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/7855697713170026132'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/7855697713170026132'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/sehemu-tofauti-za-utamu-wa-ngono-kwa.html' title='Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-4988100958662606568</id><published>2009-04-10T02:59:00.001-07:00</published><updated>2009-04-10T02:59:43.459-07:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Njia za kuzuia mimba'/><title type='text'>Njia za kuzuia mimba</title><content type='html'>Njia za kuzuia mimba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dawa au vifaa vya uzazi ni baadhi ya taratibu zinazotumiwa kuzuia mimba kutungwa. Ikiwa msichana au wanamke atafanya mapenzi pasi na kutumia mojawapo ya mbinu hizo basi, kuna uwezekano wa theluthi moja kwamba atapata mimba.&lt;br /&gt;Hata hivyo aina yoyote ya kuzuia mimba utakayoichagua ni lazima itumiwe kama ilivyoagizwa, ili kuleta matokeo ya hakika.&lt;br /&gt;Baadhi ya njia hizo kama vile kutumia kondom wakati wa ngono, pia kwa kiasi fulani humpa mtu kinga dhidi ya maambukizo ya virusi vya HIV, na magonjwa mengine yanayoathiri afya ya uzazi.&lt;br /&gt;Kwa vile mbinu za kuzuia uzazi ni za aina tofauti tofauti, ni muhimu basi uchague kwa makini ile inayokufaa. Utapata usaidizi wa kitaalam kama utashauriana na daktari wako, au pata usaidizi katika kituo cha kwenu cha upangaji uzazi, au kituo cha vijana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbinu za kuzuia mimba (Contraception)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi ni vifaa au dawa zinazotumiwa kwa minajili ya kuzuia mimba kutungwa wakati wa kufanya ngono.&lt;br /&gt;Kuna zile zinazotumiwa kwa mda mfupi na nyengine kwa mda mrefu. Nyengine hufanya kazi papo hapo na nyengine huitaji maandalizi ya mda.&lt;br /&gt;Kondom au tembe maalum ndizo njia bora zinazojulikana zaidi za kuzuia mimba.&lt;br /&gt;Pia kondom zina manufaa bora zaidi zinapotumuwa kwani mbali na kuzuia mimba zinapotumika kama inavyopaswa zinaweza pia kumkinga mtu asiambukizwe vurusi vya HIV, na magonjwa mengine ya zinaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuangalie kwanza vifaa vya kuzuia mimba.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Moja ya mbinu bora na rahisi za kuzuia mimba, ni kuweka kizuizi, kwa lengo kuwa mbegu ya mwaname na ile mwanamke zisikutane. Kwa maana hiyo kifaa maalum kinaweza kuwekwa katika njia inayotumiwa na mbegu ya kiume ndio isilifikie yai la mwanamke.&lt;br /&gt;Baadhi ya vifaa hivi (hasa kondom) pia vinaweza kukinga kuambukizwa virusi vya Ukimwi, na magonjwa mengine ya kuambukizana kupitia ngono.&lt;br /&gt;Kuna aina kadhaa za vifaa vya kuzuia mimba. Kondom za wanaume na zile za wanawake ndio vifaa vinavyofahamika zaidi, hata hivyo kuna pia vifaa vyenginevyo viitwavyo diaphragm na caps kwa kimombo ambavyo vinaweza kutumiwa na wanawake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kondom za wanaume: Hivi hutengenezwa kutokana na aina maalum ya mpira uitwao latex, au plastiki nyembamba. Kondom ya mwanaume huvaliwa kwenye uume iliyosimama, tena kabla ya uume kuingizwa ukeni. Ikitumiwa kama inavyotakikana inakadiriwa kuzuia mimba kwa asilimia 98.&lt;br /&gt;Kwa kawaida kondomu hupatikana kwenye vituo au kliniki za upangaji uzazi, kwenye maduka ya madawa au hata maduka ya kawaida.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kondomu za wanawake: Halkadhalika hutengenezwa kwa mipira laini ya latex au plastiki nyembamba maalum. Huvaliwa ndani ya uke, huku sehemu iliyowazi ikichomoza nje kidogo. Kwa kawaida kondom za wanawake ni ghali, na pia utendaji kazi wake unakadiriwa kuzuia mimba kwa asilimia 95.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aina nyenginezo na vifaa vya kuzuia mimba huwa hazipendekezwi kwa vijana lakini ni vyema kuvijua.&lt;br /&gt;Kuna aina nyenginezo za vifaa vya kuzuia mimba viitwavyo diaphragms na caps.  Hivi hutengenezwa kutokana na kitu kiitwacho silicone au mpira laini maalum. Vikiwekwa ukeni hutumika kama vizibo vya kuzuia mbegu za mwanamme kupenya hivyo basi haiwezi kukutana na yai la mwanamke.&lt;br /&gt;Kwa kawaida caps ni ndogo kuliko diaphragms lakini kwa vile wanawake pia wana maumbo tofauti, ni sharti upate saizi utakayokutosha. Hapa ni sharti upate usaidizi wa daktari wako, au muuguzi, kuiweka.&lt;br /&gt;Inapowekwa mahali pake ndani ya uke, iwe diaphragm au cap, huziba kilango cha mfuko wa uzazi hivyo basi mbegu ya mwanamme haitapatanafasi ya kupita. Ukishaonyeshwa na daktari jinsi ya kuipachika, baadae unaweza kuipachika mwenyewe kabla ya kufanya mapenzi.&lt;br /&gt;Kwa matokeo bora zaidi, diaphragms na caps hutumiwa pamoja na dawa iitwayo (spermicide) ambayo huuwa mbegu za uzazi za mwaname. Hapo diaphragms au caps humpa mwanamke kinga dhidi ya mimba kwa asilimia kati ya 92 na 98.&lt;br /&gt;Hata hivyo itachukua mazoezi ya muda ili kuvitumia itakikanavyo. Wakati mwengine pia hutumiwa na gel yake maalum lakini bado havina hakikisho la asilimia moja kuzuia mimba.&lt;br /&gt;Faida yake nyengine ni kuwa, kwa kiasi fulani, vinaweza kukinga dhidi ya magonjwa ya zinaa na saratani ya (cervix) lango la nyumba ya uzazi.&lt;br /&gt;Ikiwa wewe hutumia vifaa kama diaphragms au caps, au hata kondom, ni vyema kujipangia mapema ndio usikose akiba, ndio haitakuwa karaha kuvitafuta pale unapovihitaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbinu nyingine za kuzuia mimba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna chembe chembe za kimaumbile, zinazojulikana vyema kama homornes ambazo hutumiwa kutengeneza tembe au chanzo ya kuzuia mimba.&lt;br /&gt;Chembe chembe hizi kwa jina maalum progestogen yaani mchanganiyko wa oestrogen na progestogen, huingizwa mwilini mwa mwanamke kwa mpangilio na kiwango maalum ili kuzuia mimba kutungwa.&lt;br /&gt;Hufanya kazi kwa namna hii:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;   * Kwa kuzuia ovari kuangua mayai&lt;br /&gt;   * Kwa kuzuia mbegu za mwanamme kulifikia yai (kwa kufanya majimaji ua ukeni kuwa mazito na kunata hivyo kuzuia mbegu ya mwanamme kupenya)&lt;br /&gt;   * Kwa kulizuia yai kujipachika kwenye kiota cha nyumba ya uzazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tembe mchanganyiko - huwa ni kidonge cha dawa kilichotengenezwa kwa mchanganyiko wa chembe chembe za oestrogen na progestogen. Hii huzuia mimba kwa njia zote tatu tulizozitaja hapo juu na ikitumiwa itakikanavyo, vinategemewa kuzuia mimba kwa asilimia 99.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tembe ni rahisi kutumia - Mradi tu unakumbuka kumeza vidonge kulingana na maagizo. Wakati mwengine pia huifanya hedhi, kupungua na kupunguza pia maumivu wakati wa hedhi.&lt;br /&gt;Lakini athari zinazoandamana na utumiaji wa vidonge hivyo ni pamoja na kuchafukwa na moyo, kuongezeka unzani, na athari mbaya zaidi ni iwapo itatokea hali ya kuganda kwa damu kwenye mishipa ya kupitisha damu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vidonge vya Progestogen pekee (POP) - Aina hii ya Tembe huitwa pia “mini pill” na huwa ina chembe chemba za progestogen pekee. Huzuia mimba kwa njia kama zile zile zinazozuia tembe za mchanganyiko, na ina utendaji kazi wa kati ya asilimia 96 na 99. Hata hivyo kama una uzani wa zaidi ya kilo 70 uwezo wake wa kuzuia mimba hupungua&lt;br /&gt;Faida kuu ya kutumia vidonge hivi ni kwamba vina athari ndogo za kiafya. Lakini tatizo ni kuwa ni sharti tembe imezwe wakati ule ule kila siku , kama umechelewa basi isipitishe zaidi ya masaa matatu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sindano - Hii ni chanjo ya kuzuia mimba inayotengenezwa na chembe chembe hizo hizo za homoni ya progestogen. Tofauti na tembe, ambazo ni sharti kumeza moja kila siku, sindano pindi inapodungwa inakupa kinga dhidi ya mimba, kwa mda wa kati ya wiki nane hadi 12 kuambatana na aina inayotumiwa.&lt;br /&gt;Hudungwa takoni, na dawa kuingizwa ndani ya mishipa ya damu na ina uwezo wa kuzuia mimba kwa asilimia 99.&lt;br /&gt;Faida kuu ya njia hii ya sindano, ni kwamba hutakuwa na wasiwasi wa kupata mimba unapofanya ngono, kwa mda wa angalau wiki nane au 12.&lt;br /&gt;Lakini pia ina athari zake - ni kwamba huenda dawa hii ikavuruga mpangilio wako wa kawaida wa kupata hedhi, au ukatoka hedhi kiwango kisicho cha kawaida cha damu, au kwa mda mrefu, au hedhi ikapotea kabisa. Pia inaweza kusababisha kuongezeka uzani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Homoni au Vidonge vya kupachika chini ya ngozi Hapa dawa kama ile ile ya tembe au chanjo, hutengenezwa na kuwekwa kwenye kifaa cha plastic mfano wa kijiti cha kiberiti. Hupachikwa ndani ya ngozi chini ya kwapa kwa kufanyiwa upasuaji mdogo.&lt;br /&gt;Hii ni njia ya mda mrefu ya kuzuia mimba. Inaaminika kuzuia mimba kwa aslimia 99 na inaweza kufanya kazi kwa mda wa hadi miaka mitatu.&lt;br /&gt;Kuna aina nyenginezo za upangaji uzazi ambazo, ingawa kwa hali ya kawaida hazipendekezwi kwa vijana, si vibaya kuzijua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitanzi au koili, ambacho kwa lugha ya kitaalam kinajulikana kama Intra-uterine device au IUD hutengenezwa kwa plastiki na shaba, na hupachikwa kwenye mfuko wa uzazi na daktari au muuguzi.&lt;br /&gt;Vitanzi huanza kufanya kazi pindi kinapopachikwa. Hufanya kazi kwa njia mbili kuu. Kwanza, kwa kuzuia mbegu za kiume kutangamana na yai, na pili kuzuia yai kukubaliwa kujipachika ndani ya mfuko wa uzazi.&lt;br /&gt;Kitanzi au koili kinakadiriwa kuzuia mimba kwa asilimia 98 na 99. Na pindi kikitolewa asili ya uwezo wa wanamke wa kushika mimba anapofanya ngono, unarudi vilevile.&lt;br /&gt;Hata hivyo moja ya matatizo ya kitanzi ni kwamba vinaweza kuifanya hedhi yako kuwa nzito (damu kutoka nyingi) na pia huenda ukapatwa na maumivu, mara nyengine inaweza kutoka mahali kilipowekwa na kusukumwa nje ya mfuko wa uzazi.&lt;br /&gt;Hivyo ni vyema kumuona daktari mara kwa mara ili kama imechomoka, ipachikwe tena vyema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Njia asilia ya mpango wa uzazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Njia hii inahitaji makini sana kuitumia. Kwani inafanya kazi tu ikiwa wanamke anafanya mapenzi tu wakati ule ambao kiasilia hawezi kushika mimba.&lt;br /&gt;Hii inawezekana kwa kutayarisha tarakimu za siku za hedhi, na kupima hali ya joto la mwili. Njia hii inahitaji uangalifu na uzoufu mkubwa – Kwa vile ni ya kubahatisha haipendkezwi kwa vijana ambao hawako tayari kupata mtoto.&lt;br /&gt;Kwa bahati mbaya watu wengi hudhani kwamba kutoa uume kutoka ukeni, pindi tu kabla ya kufikia kilele cha kumwaga manii, ni moja ya njia za kuzuia mimba.&lt;br /&gt;La sivyo kwani mara nyingi mbegu za kiume hutangulia kutoka hata kabla kufikia kilele katika hali ya kufanya mapenzi. Hivyo basi hata ukitoa uume huenda umeshachelewa!&lt;br /&gt;Vasectomy au Tubuligation, Hii ndiyo njia pekee ya kudumu ya kuzuia mimba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Vasectomy ni njia ya kumfanya mwanamme asiwe na uwezo wa kutunga mimba ilhali Tubuligation ni njia ya kumfanya mwanamke asiwe na uwezo wa kushika mimba. Hii inafanyika kwa njia ya upasuaji mdogo.&lt;br /&gt;Mwanamme anafanyiwa upasuaji kwa kukata vibomba vinavyopitisha mbegu za kiume kutoka kwenye makende hadi kwenye uume. Upasuaji huu kwa mwanamke unahusisha kukatwa au kuzibwa kwa vibomba vinavyopitisha mayai kutoka kwa ovari hadi kwenye mfuko wa uzazi.&lt;br /&gt;Baada ya upasuaji huu, ni vigumu mwanamke au mwanamme kurudishwa tena katika hali ya mwanzo ya kuweza kuzaa, kwa hivyo njia hii inatumiwa tu kwa sababu za kimatibabu au ikiwa mhusika amefikia uamuzi wa hakika kwamba hataki tena kupata watoto (zaidi).&lt;br /&gt;Kitanzi cha Intra uterine system au IUS - Hiki nacho kimetengezwa kwa plastiki, yenye muundo wa T kikiwa na chechembe za homoni ya progestogen ndani. Kinaweza kupachikwa ndani ya mfuko wa uzazi na daktari au muuguzi.&lt;br /&gt;Kitakapopachikwa, progestogen pole pole huingia ndani ya mwili, na kuzuia mimba katika njia ile ile kama vinavyozuia tembe. Kinaweza kutumika kwa mda wa miaka 5, na kinakadiriwa kuzuia mimba kwa asilimia 99.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Kitanzi cha IUS ni kizuri kwa wale walio na matatizo ya maumivu wakati wa hedhi, kwa sababu kinapopachikwa (ingawa wakati wa kupachikwa huenda ukapata maumivu kidogo) baadaye husaidia kupunguza hedhi au hata kuisitisha kabisa, kutokana na homoni hizo za progestogen.&lt;br /&gt;Madhara ya njia hii nayo ni kama, kuongeza uzani, kuumwa na kichwa, kutokwa na damu kusiko na mpango, na mabadiliko ya majira ya hedhi. Pia inaweza kuchopoka, hivyo itabidi kumwona muuguzi au daktari kila mwezi kuhakikisha kiko sawa.&lt;br /&gt;Ni vyema kujadili juu ya aina mbalimbali za mpango wa uzazi ili kuchagua vyema. Daktari wako au muuguzi atakushauri ipasavyo.&lt;br /&gt;Hata hivo kumbuka njia hizi za kuzuia mimba hutumiwa zaidi kwa minajili ya mpango wa uzazi, hivyo basi haziwezi kukukinga dhidi ya maambukiko ya virusi vya Ukimwi, au magonjwa mengine yayayosambazwa kupitia ngono.&lt;br /&gt;Ni busara kutumia kondom kila unapofanya mapenzi na mtu ambaye afya yake ya uzazi huifahamu - Hakikisha pia unaufahamu vizuri jinsi ya kutumia kondom na unajua jinsi ya kufanya ngono salama kwa jumla.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-4988100958662606568?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/4988100958662606568/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/njia-za-kuzuia-mimba.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/4988100958662606568'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/4988100958662606568'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/njia-za-kuzuia-mimba.html' title='Njia za kuzuia mimba'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-6655876127959617912</id><published>2009-04-10T02:57:00.002-07:00</published><updated>2009-04-10T02:58:40.196-07:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Ngono ni sanaa'/><title type='text'>Ngono ni sanaa</title><content type='html'>Ngono ni sanaa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kufanya mapenzi/ngono na mpenzi wako ni sanaa, tuchukulie sanaa ya urembaji. Huitaji kwenda shule/darasani ili ujue jinsi ya kuremba au kujiremba bali unakwenda shule ili uwe na Cheti kinachotambulika ili uweze kukitumia kutafutia kazi na pengine kuaminiwa na Muajiri au Mteja wako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sidhani kuna mtu anataka cheti cha kufanya ngono ei?&lt;br /&gt;Sanaa ya urembo huanzia kwako mwenyewe, unajaribu wanja unakaa vibaya unafuta unapaka tena mpaka unaona sasa umekaa sawia, hali kadhalika unapaka rangi hii ya mdomo inakuwa haiendani na umbile la midomo yake unapaka nyingine mpaka unagundua rangi/aina gani inafaa kupakwa midomoni mwako sio? Hali kadhalika poda na “foundation”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa hata Ngono inatakiwa ijaribiwe hivyo na wewe mwanamke mwenyewe. Kwanza unatakiwa kuujua mwili wako na umbile lako huko chini, eti wengine hujiogopa na kusema linatisha au limekaa vibaya (hii ilikuwa wakati ule tuko wadogo tusijichungulie wala kujigusa na hatimae kuondoa bikira) ukishaanza kuingiziwa mboo huna haja ya kujiogopa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna baadhi ya wanawake hawajui kabisa Kuma zao zimekaa vipi na hata mpenzi wake haruhusiwi kuona, vilevile kuna baadhi ya wanaume ambao wanadhani kuwa mwanamke ana tundu mbili kule chini moja ni ya mkojo na nyingine ni ya kutumbukiza mboo na hujidanganya kwa kusema “ukibahatisha kutia tundu la kutolea mkojo ndio mwanamke anafika haraka”…..hahaha nafikiri huwa wanamaanisha kisimi mana’ke kitundu cha mkojo kiko chini kidogo ya kisimi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile kuna baadhi ya watu ambao wanaamini sana msemo huu “bucha zote nyama ni ileile”…hey sio kweli nyama zinatofautiana kwa kiasi kikubwa na hata utamu hutofautiana na hii hutegemea zaidi na uwazi wa muhusika pia ufurahiaji wa mwanamke anapofanywa na mpenzi wake ambao sio wa uongo (Fake)…&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sikiliza dada/mama mpendwa nikwambie, uke ni kitu cha thamani mbacho mungu ametujaalia, uke una sura nzuri na ndio maana waume/wapenzi wetu hupenda kuangalia na wengine kucheza nayo, huenda ni kweli haikuvutii lakini kumbuka kuwa huhitaji kuvutiwa kwani wewe ni mwanamke hivyo unatakiwa kuvutiwa na uume.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa ili ujijue unatakiwa kucheza na mwili wako wakati mpenzi wako hayupo au pale unapokuwa na muda basi jitafutie faragha kisha tumia kioo jichunguze, cheza na maumbile yako, jiguse, jiangalie &lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/kupiga-nyeto-kwa-wanawake.html"&gt;ukinyegeka basi jichue&lt;/a&gt; (usitumie sanamu bali mikono yako) na hakikisha unajua umegusa wapi ambapo pamekufanya ujisikie hivyo ulivyojisikia (kama vipi andika kabisa kwenye karatazi) fanya hivyo kila unapopata muda ...&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumbuka  wanawake wanatofautiana sana ukiachilia mbali kitabia, maumbile na muonekano pia wanatofautiana jinsi ya kufurahia ngono/mapenzi hivyo usitegemee mpenzi wako akufanyie vile anavyoujua mwili wa Fulani na Fulani mwambie akufanye vile wewe unapenda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;soma tena&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/ulimi-kisimini-siri-ya-mwanamke-kufika.html"&gt;Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/jinsi-ya-kukata-kiuno.html"&gt;Jinsi ya Kukata Kiuno&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/jinsi-ya-kufurahisha-mwanamke-katika.html"&gt;Jinsi ya Kufurahisha mwanamke  Katika Ngono&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/chumvini-kunyonya-kuma.html"&gt;Chumvini-Kunyonya Kuma&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/sehemu-tofauti-za-utamu-wa-ngono-kwa.html"&gt;Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/jinsi-ya-kunyonya-uume.html"&gt;Jinsi ya kunyonya uume&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://sirizangu.blogspot.com/2009/03/kupiga-nyeto-kwa-wanawake.html"&gt;Kupiga Nyeto kwa Wanawake&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-6655876127959617912?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/6655876127959617912/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/ngono-ni-sanaa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/6655876127959617912'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/6655876127959617912'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/ngono-ni-sanaa.html' title='Ngono ni sanaa'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-822881718766934709.post-6407161952457060173</id><published>2009-04-10T02:57:00.001-07:00</published><updated>2009-04-10T02:57:35.430-07:00</updated><category scheme='http://www.blogger.com/atom/ns#' term='Ngono baada ya kujifungua'/><title type='text'>Ngono baada ya kujifungua</title><content type='html'>Ngono baada ya kujifungua&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kungonoana au kungonoka na kufurahia tendo baada ya kujifungua inategemea zaidi na wewe mwenyewe (uponaji wako) na lini unadhani uko tayari vilevile ushirikiano wa kutosha kutoka kwa mume/mpenzi wako wakati unaendelea na uponaji baada ya kutoa kiumbe kipya duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni hali ya kawaida kabisa kwa mwanamke kutokujiskia (kutonyegeka) au kutaka ngono kwa wiki chache tangu ujifungue na hii inatokana na kusubiri dam ya uzazi kuisha bila kusahau yale maumivu kule ukeni (sore) kupungua au kupona kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kufanikisha uponaji wa haraka inategemea na wewe mwenyewe utakavojisaidia na kufuata ushauri wa Wakunga na Daktari wako bila kusahau njia unayotumia "kusababisha" uponaji wa haraka.&lt;br /&gt;Njia ambayo wanawake wengi wa kiafrika wanaitumia ni maji ya moto na utumiaji huu wa maji unatofautiana na hii inategemea na Asili yako (kule utokako) kwani kuna baadhi huongezea aina ya majani (kama dawa) ili kusaidia uponaji wa mama mzazi, wengine huchanganya maji hayo ya moto na unga unaotokana na aina fulani ya mizizi nakadhalika......Afrika tuna madawa mengi asilia ambayo yanafanya kazi nzuri kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hizi ni aina 3 za utumiaji wa maji moto nizijuazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1-Kukandwa/mwagiwa maji ya moto ukeni-Mwanamke hukalishwa kwenye "kigoda" au kitini na pengine kuchutama kisha shughuli inaendelezwa na mama, mama mkwe, Shangazi, Bibi au Mume wako. Mtindo huu wa maji moto ni mzuri lakini haumalizi damu ya uzazi haraka, hivyo unaweza ukapona kwa maana "sore" kutokuwepo lakini damu ikaendelea kutoka kama ifuatavyo kwa muda zaidi. Njia hii ya utumiaji wa maji ya moto huchukua kati ya siku Arobaini mpaka miezi mitatu kupona kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2-Kukalia mvuke-Namna hii ya utumiaji wa maji mto wengi huwa hawaitumii lakini ni "the best" lakini unahitaji maji ya mto kweli kweli, husababisha uponaji wa haraka kwa vile unapokalia mvuke unasaidia kuvuta ile damu (hasa kama ni mabonge) kushuka kwa wingi hivyo ukifanya mara mbili au tatu kwa siku baada ya wiki mbili unakuwa uko tayari kwa "mizunguuko".&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3-Kalia maji-Hapa sio maji ya moto bali joto vinginevyo matako yatazidi kuwa meusi hihihihihi(dont take it personal)karai au beseni au "bath" ndio hutumika, hii ni namna ambayo baadhi ya wanawake huitumia lakini ni ya kivivu na pia uponaji wake huchukua muda mrefu zaidi kuliko hizo mbili nilizowaeleza hapo juu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya wanawake hudharau "Utamaduni" wa kutumia maji moto wakisubiri damu ishuke yenyewe na matokeo yake ni kupata maambukizo ambayo husababisha harufu mbaya sana na wakati mwingine kutokwa na usaha ukeni(wanaita kuoza)hili likitokea ni wazi kuwa itakuchukua hata mwaka kabla hujapona kabisa na kurudi kwenye "mambo" fulani hali inayoweza kusababisha uhusiano wenu kuwa kwenye wakati mgumu hasa kama mume/mpenzi wako sio mwelevu na mvumilivu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama hauko "sore" sana unaweza kutumia kidole kurahisisha mabaki ya damu ya uzazi kutoka, ni kama vile nlivyokuelekeza namna ya kuondoa utoko a.k.a jinsi ya kusafisha uke.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kipindi hiki mwanamke hupaswi kuharakisha mambo, nikiwa na maana kuhisi “msukumo” wa kupona haraka ili ungonoke na mumeo kwa kuhofia kuwa atachepuka, pamoja na kusema hivyo ni vema kujitahidi na kuwa karibu zaidi na mumeo/mpenzi kimapenzi na kushirikiana nae.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sio “kudeka” kwa vile tu umezaa (kuzaa ni sehemu ya uanamke hivyo usimfanye mumeo/mpenzi wako kujihisi “guilt” as if kukumimba ilikuwa kosa wakati mlielewana...er.. let’s say matunda ya ndoa/mizunguuko).&lt;br /&gt;Siku ya mwanzo kungonoka baada ya kupona kuna uwezekano mkubwa wa wewe kutopata raha au utamu na badala yake ikawa maumivu fulani hivi ambayo sio makubwa sana yaani kama yale upatayo unapo kaa muda mrefu bila kuingiziwa mtalimbo”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile unaweza ukahitaji kilainisho cha kutosha na hapa sizungumzii mate bali Kay-Y Jell ili kukabiliana na ukavu wa uke ambao unaweza kujitokeza ktk ya “game”.&lt;br /&gt;Kwa kawaida uke hujirudi kama awali ndani ya siku Arobaini au Miezi mitatu yote inategemea na uponaji wako na njia uliyotumia ili kusababisha uponaji wako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Licha ya kuwa “sore” na damu ya uzazi kukupotezea hamau ya kungonoka au kufanya mpenzi na mume/mpenzi wako pia kuna sababu nyingine zinazoweza kupelekea wewe mwanamke mzazi kushindwa au kupoteza hamu ya kungonoka na hivyo kumkwepa Jamaa kila atakapo mambo fulani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya sababu hizo ni:-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;- Uchovu wa mwili na akili kutokana na kutokupata usingizi wa kutosha mishughuliko yako kama mwanamke na vilevile mama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Maumivu ya mshono kama ulijifungua kwa njia ya upasuaji, uliongezewa njia au ulichanika kutokana na ukubwa wa mtoto inategemea na pia atakavyokuwa akitoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Kutokupata muda wa kuwa karibu na mpenzi/mume kutokana na mapenzi yako mazito kwa mtoto wako, yaani unahisi kuwa mtoto anakuhitaji zaidi kuliko baba’ke.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Kupoteza hali ya kujiamini kwa vile unadhani kuwa mwili wako hauko kama ilivyokuwa baada ya kujifungua.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/822881718766934709-6407161952457060173?l=shuleyangono.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://shuleyangono.blogspot.com/feeds/6407161952457060173/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/ngono-baada-ya-kujifungua.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/6407161952457060173'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/822881718766934709/posts/default/6407161952457060173'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://shuleyangono.blogspot.com/2009/04/ngono-baada-ya-kujifungua.html' title='Ngono baada ya kujifungua'/><author><name>bangambiki</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='18' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_pivaF9vm83w/SQXyOeJvr_I/AAAAAAAAAkg/A5VllpaLZoA/S220/imok.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry></feed>
